Watu walioathiriwa moja kwa moja na dhoruba kali za Julai 25-28 na mafuriko katika jiji la Saint Louis na Kaunti ya Saint Louis wana siku tatu pekee za kuwasilisha maombi kwa ajili ya msaada wa majanga wa Fema.
News, Media & Events: Missouri
Preparedness Tips
Press Releases and Fact Sheets
Kituo cha Msaada wa Majanga (DRC) katika Chuo cha Ufundi cha Ranken huko St. Louis kitafungwa Jumatatu, Novemba 7 saa kumi na moja jioni (5pm).
Jiji la St. Louis, Kaunti ya St. Louis na Kaunti ya St. Charles zimebakia na wiki moja pekee kutuma maombi ya msaada wa majanga ya FEMA kabla ya tarehe ya mwisho ya Novemba 7.